Ahsalam aleikum mandugu na madada.
Mie hapa naitwa Macho-ngumu (impunity???)
Swala ambalo lilileta njeve hii wiki kwa maoni yangu ni lile lililofanyika kule ospitali kuu cha kenyata.
Kwa wale wamesahau, ili kuwa hivi:
Jamaa moja alichukua kisu yenye makali sana.
Kisha akanyofua sehemu nyeti ya maiti.
Kisha alishtakiwa kwa kuumiza maiti.
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.