wazua Wed, Apr 29, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

4 Pages123>»
Mteja wa zao la KITUNGUU toka Kenya
kivuma
#1 Posted : Saturday, February 14, 2015 8:14:39 PM
Rank: Hello

Joined: 2/14/2015
Posts: 4
Habari,
Mimi ni Mtanzania nimelima zao la KITUNGUU heka mbili huku mkoa wa Kilimanjaro. natarajia kuanza kuvuna wakati wowote kuanzia wiki ijayo.

Aina ya kitunguu: Red bombay

Kama kuna Mteja hapa tuwasiliane.

e-mail: 123samarantino@gmail.com
whatsapp: +255755508667


KARIBUNI SANA.........
Nandwa
#2 Posted : Sunday, February 15, 2015 11:49:02 AM
Rank: Veteran

Joined: 11/17/2009
Posts: 1,049
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.
Just as absolute power corrupts leaders, so does absolute fanaticism blind the people from logic
kivuma
#3 Posted : Sunday, February 15, 2015 9:21:45 PM
Rank: Hello

Joined: 2/14/2015
Posts: 4
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu
Bigchick
#4 Posted : Monday, February 16, 2015 1:27:06 PM
Rank: Elder

Joined: 2/8/2013
Posts: 4,068
Location: At Large.
kivuma wrote:
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu



Kaka Kivuma,U hali gani?

Hapa Kenya naonelea tumezoea hesabu kwa kilo.

Ingekuwa bora kama utasema ni gunia la kilo ngapi ama hilo debe lina beba kilo ngapi.

Zaidi ya hapo sema hiyo pesa kwa Ksh.

Mimi sina exchange rate ya Tsh to Ksh na vice-versa.

Nakutakia heri njema.
Love is beautiful and so are those who share it.With Love, Marriage is an amazing event in ones life time, the foundation of joy, happiness and success.
Am
#5 Posted : Monday, February 16, 2015 1:49:04 PM
Rank: Veteran

Joined: 2/21/2012
Posts: 1,739
Bigchick wrote:
kivuma wrote:
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu



Kaka Kivuma,U hali gani?

Hapa Kenya naonelea tumezoea hesabu kwa kilo.

Ingekuwa bora kama utasema ni gunia la kilo ngapi ama hilo debe lina beba kilo ngapi.

Zaidi ya hapo sema hiyo pesa kwa Ksh.

Mimi sina exchange rate ya Tsh to Ksh na vice-versa.

Nakutakia heri njema.


Applause Applause Applause Applause
Applause Applause Applause Applause

Na Dada Umejaribi Kinena Kiswahili Kabisa.
Do not be anxious about anything, but in everything, by prayer and petition, with thanksgiving, present your requests to God..
nakujua
#6 Posted : Monday, February 16, 2015 4:07:05 PM
Rank: Elder

Joined: 12/17/2009
Posts: 3,583
Location: Kenya
Am wrote:
Bigchick wrote:
kivuma wrote:
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu



Kaka Kivuma,U hali gani?

Hapa Kenya naonelea tumezoea hesabu kwa kilo.

Ingekuwa bora kama utasema ni gunia la kilo ngapi ama hilo debe lina beba kilo ngapi.

Zaidi ya hapo sema hiyo pesa kwa Ksh.

Mimi sina exchange rate ya Tsh to Ksh na vice-versa.

Nakutakia heri njema.


Applause Applause Applause Applause
Applause Applause Applause Applause

Na Dada Umejaribi Kinena Kiswahili Kabisa.

smile nimestajabu, bibi amenena mawaidha ya maana sana - natumai @kivuma atayatilia maanani
Mariacha
#7 Posted : Monday, February 16, 2015 10:52:50 PM
Rank: Member

Joined: 5/4/2011
Posts: 115
nakujua wrote:
Am wrote:
Bigchick wrote:
kivuma wrote:
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu



Kaka Kivuma,U hali gani?

Hapa Kenya naonelea tumezoea hesabu kwa kilo.

Ingekuwa bora kama utasema ni gunia la kilo ngapi ama hilo debe lina beba kilo ngapi.

Zaidi ya hapo sema hiyo pesa kwa Ksh.

Mimi sina exchange rate ya Tsh to Ksh na vice-versa.

Nakutakia heri njema.


Applause Applause Applause Applause
Applause Applause Applause Applause

Na Dada Umejaribi Kinena Kiswahili Kabisa.

smile nimestajabu, bibi amenena mawaidha ya maana sana - natumai @kivuma atayatilia maanani

in my language Kinena means something totally different... hehehehe. but i get what you are saying @Am... the swaha... #icant... ul laugh at me for days
the warmer the blankets, the colder the future
Wamunyota
#8 Posted : Tuesday, February 17, 2015 9:40:22 AM
Rank: Veteran

Joined: 6/23/2014
Posts: 1,652
Mariacha wrote:
nakujua wrote:
Am wrote:
Bigchick wrote:
kivuma wrote:
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu



Kaka Kivuma,U hali gani?

Hapa Kenya naonelea tumezoea hesabu kwa kilo.

Ingekuwa bora kama utasema ni gunia la kilo ngapi ama hilo debe lina beba kilo ngapi.

Zaidi ya hapo sema hiyo pesa kwa Ksh.

Mimi sina exchange rate ya Tsh to Ksh na vice-versa.

Nakutakia heri njema.


Applause Applause Applause Applause
Applause Applause Applause Applause

Na Dada Umejaribi Kinena Kiswahili Kabisa.

smile nimestajabu, bibi amenena mawaidha ya maana sana - natumai @kivuma atayatilia maanani

in my language Kinena means something totally different... hehehehe. but i get what you are saying @Am... the swaha... #icant... ul laugh at me for days

Ngahutia nyo...Ngahutia Kinena ngarira weeeh!!
Hutia Mundu!!
kivuma
#9 Posted : Tuesday, February 17, 2015 10:11:14 AM
Rank: Hello

Joined: 2/14/2015
Posts: 4
Bigchick wrote:
kivuma wrote:
Nandwa wrote:
Jambo Kaka,

Kuvuka border na bidhaa ndio kazi!

Hata hivyo, zao lako waliuza aje.

Jambo bro, kuvuka border nadhani ni suala la kujipanga, mazao ya kilimo kwa sasa yanaruhusiwa kuvuka border.
Bei inaanzia Tsh 150,000/= kwa gunia la ujazo wa debe 7 (i.e plastic-ndoo ya 20 lts). Maelewano yapo (Bargaining)

Karibu



Kaka Kivuma,U hali gani?

Hapa Kenya naonelea tumezoea hesabu kwa kilo.

Ingekuwa bora kama utasema ni gunia la kilo ngapi ama hilo debe lina beba kilo ngapi.

Zaidi ya hapo sema hiyo pesa kwa Ksh.

Mimi sina exchange rate ya Tsh to Ksh na vice-versa.

Nakutakia heri njema.

Niko poa Bro.

Debe moja ni kilo 20 maana yake gunia moja ni kilo 140 i.e 20 x 7

Exchange rate: 1 Ksh = 18 Tsh
kwahio Tsh 150,000 = Aprox Ksh 8152

Karibu
radio
#10 Posted : Tuesday, February 17, 2015 10:17:59 AM
Rank: Veteran

Joined: 11/9/2009
Posts: 2,003
@kivuma mie sitaki kitunguu nataka kidosho mtanzania. Je, waweza kuniorganizia?
4 Pages123>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.