Wazua
»
Club SK
»
Life
»
Just placed an order for the new iPad
Rank: New-farer Joined: 3/4/2012 Posts: 37
|
Mlevi,
Here I was thinking that you are entirely worthless following me around from post to post and now thread to thread, you internet stalker.
You have drawn fire towards yourself and away from me.
You do have your uses after all. May I adress you as Your Majesty "I am too good for Swahili and my employer gives me laptops" Mlevi?
|
|
|
Rank: New-farer Joined: 3/4/2012 Posts: 37
|
Lolest! wrote:Harry, Hadithi! hadithi! Sasa jamaa mmoja kaenda kuogelea. Punde si punde, mwenda wazimu katokea na kuzichukua nguo za yule jamaa. Kuona nguo zake zimechukuliwa, bwana yule akamkimbiza yule mwenye akili pungwani hadi kufikia kijijini. Watu kuwaona wakaanza kupiga nduru, si kwa kustaajabia mwenda wazimu bali kwa sinema ile ya baba aliye uchi. Wazimu ni kama mfalme, akinena kubaliana naye au atakufanya wewe ukae wazimu. Tahadhari yako sote tumeipokea Bwana Lolest, lakini huyu Mlevi ananifuata fuata popote nilipo akinitusi. Sijui kama hiyo ndiyo tabia yake, lakini kuvimilia tabia yake ni kama kuvimilia mwiba. Si lazima mwiba utolewe?
|
|
|
Rank: Elder Joined: 3/18/2011 Posts: 12,069 Location: Kianjokoma
|
@Sirikali, huwezi bishana na huyu Idiyoti. Awali kulikuwa na jamaa kwa jina Jasonhill. Alijaribu kubishana na huyu bwana, akahemeshwa, akakasirishwa na malumbano yao hayakuzaa maafikiano yoyote. Sijui kama ni wivu umsumbuao au hapendi wengine wakiendelea, lakini ana chuki kwa wote walio ngambo. Hana adabu na atatusi kila mtu bila sababu.
|
|
|
Rank: User Joined: 5/3/2011 Posts: 559
|
@ Lolest and Sirikali1 The problem with you two, you do not have anything of substance to debate me ME, only Ipads, Rankings and Lolest defending Uhuru, no economics, no assets discussions nothing. Sirikali1 touched basic finance at one point but couldn't back it up, why should I have chuki to those in ngambo, if anything, I am embarrassed by most of them, after living in this fancy countries all you can come here and talk about is IPAD?, I live in North America so no wivu
|
|
|
Rank: Elder Joined: 11/7/2007 Posts: 2,182
|
i pad sio? LOVE WHAT YOU DO, DO WHAT YOU LOVE.
|
|
|
Rank: Elder Joined: 7/10/2008 Posts: 9,131 Location: Kanjo
|
Lolest! wrote:@Sirikali, huwezi bishana na huyu Idiyoti. Awali kulikuwa na jamaa kwa jina Jasonhill. Alijaribu kubishana na huyu bwana, akahemeshwa, akakasirishwa na malumbano yao hayakuzaa maafikiano yoyote. Sijui kama ni wivu umsumbuao au hapendi wengine wakiendelea, lakini ana chuki kwa wote walio ngambo. Hana adabu na atatusi kila mtu bila sababu. haha ha ha pengine alinyimwa visa. maybe tunaweza mtetea jameni!i.am.back!!!!
|
|
|
Rank: Elder Joined: 7/10/2008 Posts: 9,131 Location: Kanjo
|
Drunkard wrote:@ Lolest and Sirikali1 The problem with you two, you do not have anything of substance to debate me ME, only Ipads, Rankings and Lolest defending Uhuru, no economics, no assets discussions nothing. Sirikali1 touched basic finance at one point but couldn't back it up, why should I have chuki to those in ngambo, if anything, I am embarrassed by most of them, after living in this fancy countries all you can come here and talk about is IPAD?, I live in North America so no wivu iko jamaa moja i know in North America. some very cold place. He loves drinking so much and I guess I know who you are.I also know he is as broke as helli.am.back!!!!
|
|
|
Rank: User Joined: 5/3/2011 Posts: 559
|
harrydre wrote:Drunkard wrote:@ Lolest and Sirikali1 The problem with you two, you do not have anything of substance to debate me ME, only Ipads, Rankings and Lolest defending Uhuru, no economics, no assets discussions nothing. Sirikali1 touched basic finance at one point but couldn't back it up, why should I have chuki to those in ngambo, if anything, I am embarrassed by most of them, after living in this fancy countries all you can come here and talk about is IPAD?, I live in North America so no wivu iko jamaa moja i know in North America. some very cold place. He loves drinking so much and I guess I know who you are.I also know he is as broke as hell That profile fit alot of Kenyans in North America!
|
|
|
Rank: Elder Joined: 3/2/2009 Posts: 26,333 Location: Masada
|
|
|
|
Rank: Member Joined: 6/21/2009 Posts: 292
|
This thread just brought a smile to my face having had a horrid day yesterday
|
|
|
Wazua
»
Club SK
»
Life
»
Just placed an order for the new iPad
Forum Jump
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.
|