Magigi wrote:Kuna hili swala la mkoa wa kati ambapo mbunge wa huko, Bwana Mtutho amesisitiza kwamba vijana wameshughulikia pombe ya changaa sana kiasi cha kwamba hawawezi kazi yoyote ile, iwe ya ndani au ya nje. Ameendelea kusema kwamba katika mkoa wa kati, kati ya kila mazishi kumi kuna mzao mmoja (Mdoe arekebishe hapa!) ilhali katika mkoa wa Kaskazini wazee wa miaka 80 wangali wanaweza kazi yoyote ile. Huko kati ya kila mazishi moja kuna watoto kumi wanaozaliwa. Je unakubaliana na maoni ya Mtutho...Jadili.
(ONYO: HAPA NI KISWAHILI TU PEKE YAKE...)
**********************************************
Bwana Mututho ni mbunge wa Naivasha, Naivasha haipo wala haijawahi kuwa mkoa wa kati. Ipo mkoa wa bonde la ufa.
Tafathali jielimishe na somo la jiografia.
The greatest act of bravery is chancing a fart while suffering from diarrhoea