wazua Thu, Apr 9, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

48 Pages«<7891011>»
Rais Magufuli
Impunity
#81 Posted : Friday, October 30, 2015 10:13:44 AM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2009
Posts: 26,331
Location: Masada
harrydre wrote:
Breaking!!!! M.M Lowasa retires from active politics.

Applause Applause Applause

Is baba watching this?
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.

Swenani
#82 Posted : Friday, October 30, 2015 10:32:44 AM
Rank: User

Joined: 8/15/2013
Posts: 13,237
Location: Vacuum
Wamunyota wrote:
harrydre wrote:
Breaking!!!! M.M Lowasa retires from active politics.

Applause Applause Applause

Very sad day for democracy in TanzaniaSad Sad


#democracyontrial#
If Obiero did it, Who Am I?
Impunity
#83 Posted : Friday, October 30, 2015 1:46:06 PM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2009
Posts: 26,331
Location: Masada
Quote:
TAMKO LA EDWARD NGOYAI LOWASSA KUHUSU HATMA YAKE KISIASA

Ndugu watanzania wenzangu awali ya yote nitoe shukrani zangu za dhati kwa namna mlivyoniunga mkono nikiwa ndani na nje ya CCM nikitafuta kuteuliwa na hata nilipokuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema Kwa mwavuli wa UKAWA. Hapa natoa pongezi za kipekee kwa Mwenyekiti Mbowe, Maalim Seif, James Mbatia na UKAWA kwa ujumla kwa kunipa heshima hiyo.

Pili, nimeamua kuwatangazia rasmi watanzania wenzangu adhma yangu ya kustaafu siasa na kubaki kama mshauri kwa vyama vya upinzani nchini vinavyounda UKAWA. Naamini historia yangu itanakiliwa kwa kuongoza mapinduzi ya kidemokrasia na kujenga hamasa ya kutosha miongoni mwa wananchi walio wengi hususani vijana kuyataka mabadiliko, na kuwabana viongozi wao katika uwajibikaji. Hatukuweza kwenda Ikulu, lakini nina uhakika tumetuma ujumbe kwa viongozi wazembe kwamba watanzania sio watu wa kuchukuliwa mzaha.

Tatu,nakiri zipo kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, kama mkutano wangu na waandishi wa habari ulivyosema, sikubali matokeo yaliyotangazwa na tume. Lakini sitapenda kuingiza nchi yetu kwenye matatizo na machafuko. Hivyo nawaomba wafuasi wangu tuwe watulivu tukisubiri yanayojiri. Hata hivyo natambua kwamba Dkt. Magufuli ni kiongozi makini, nimewahi kufanya naye kazi katika awamu ya tatu na ya nne anazo sifa za kiuongozi zenye kujibu wito wa mahitaji ya sasa ya uongozi wa Taifa letu katika kipindi hiki. Sisi hatukuwa na shida nay eye, bali mfumo mbovu wa CCM. Namuomba sana akatimize ahadi zake kwa wananchi bila kupuuza walioniunga mkono, na atambue kwamba tumeshapanda mbegu ya mabadiliko ambayo itaendelea kuchipua na kuwa imara, hivyo amekalia kuti kavu na uchaguzi ujao kama asipowatumikia watanzania basi awe tayari kuachia dola.

Mwisho, namkumbusha kuwa dhamana ya urais ni shughuli nzito hasa kwa Taifa ambalo lina changamoto nyingi kama letu. Kwa wale marafiki zangu wa zamani wa CCM tusijengeane chuki kwa yaliyotokea kwani niliamua kuitafuta haki yangu sehemu nyingine. Kwa wale wana Mabadiliko wenzangu, nawaambia Aluta Continua, tutumie bunge kama sehemu ya kuonyesha watanzania na kuanza kuwaletea mabadiliko tuliyoyahubiri.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Africa.

Edward N Lowassa.
29.10.2015

Monduli, Tanzania
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.

washiku
#84 Posted : Friday, October 30, 2015 3:10:51 PM
Rank: Chief

Joined: 5/9/2007
Posts: 13,095
Impunity wrote:
Quote:
TAMKO LA EDWARD NGOYAI LOWASSA KUHUSU HATMA YAKE KISIASA

Ndugu watanzania wenzangu awali ya yote nitoe shukrani zangu za dhati kwa namna mlivyoniunga mkono nikiwa ndani na nje ya CCM nikitafuta kuteuliwa na hata nilipokuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chadema Kwa mwavuli wa UKAWA. Hapa natoa pongezi za kipekee kwa Mwenyekiti Mbowe, Maalim Seif, James Mbatia na UKAWA kwa ujumla kwa kunipa heshima hiyo.

Pili, nimeamua kuwatangazia rasmi watanzania wenzangu adhma yangu ya kustaafu siasa na kubaki kama mshauri kwa vyama vya upinzani nchini vinavyounda UKAWA. Naamini historia yangu itanakiliwa kwa kuongoza mapinduzi ya kidemokrasia na kujenga hamasa ya kutosha miongoni mwa wananchi walio wengi hususani vijana kuyataka mabadiliko, na kuwabana viongozi wao katika uwajibikaji. Hatukuweza kwenda Ikulu, lakini nina uhakika tumetuma ujumbe kwa viongozi wazembe kwamba watanzania sio watu wa kuchukuliwa mzaha.

Tatu,nakiri zipo kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, kama mkutano wangu na waandishi wa habari ulivyosema, sikubali matokeo yaliyotangazwa na tume. Lakini sitapenda kuingiza nchi yetu kwenye matatizo na machafuko. Hivyo nawaomba wafuasi wangu tuwe watulivu tukisubiri yanayojiri. Hata hivyo natambua kwamba Dkt. Magufuli ni kiongozi makini, nimewahi kufanya naye kazi katika awamu ya tatu na ya nne anazo sifa za kiuongozi zenye kujibu wito wa mahitaji ya sasa ya uongozi wa Taifa letu katika kipindi hiki. Sisi hatukuwa na shida nay eye, bali mfumo mbovu wa CCM. Namuomba sana akatimize ahadi zake kwa wananchi bila kupuuza walioniunga mkono, na atambue kwamba tumeshapanda mbegu ya mabadiliko ambayo itaendelea kuchipua na kuwa imara, hivyo amekalia kuti kavu na uchaguzi ujao kama asipowatumikia watanzania basi awe tayari kuachia dola.

Mwisho, namkumbusha kuwa dhamana ya urais ni shughuli nzito hasa kwa Taifa ambalo lina changamoto nyingi kama letu. Kwa wale marafiki zangu wa zamani wa CCM tusijengeane chuki kwa yaliyotokea kwani niliamua kuitafuta haki yangu sehemu nyingine. Kwa wale wana Mabadiliko wenzangu, nawaambia Aluta Continua, tutumie bunge kama sehemu ya kuonyesha watanzania na kuanza kuwaletea mabadiliko tuliyoyahubiri.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Africa.

Edward N Lowassa.
29.10.2015

Monduli, Tanzania


Ati "TAMKO" Lol.
Lolest!
#85 Posted : Friday, October 30, 2015 4:05:53 PM
Rank: Elder

Joined: 3/18/2011
Posts: 12,069
Location: Kianjokoma
Quote:
Tatu,nakiri zipo kasoro zilizojitokeza kwenye uchaguzi huu, kama mkutano wangu na waandishi wa habari ulivyosema, sikubali matokeo yaliyotangazwa na tume. Lakini sitapenda kuingiza nchi yetu kwenye matatizo na machafuko. Hivyo nawaomba wafuasi wangu tuwe watulivu tukisubiri yanayojiri. Hata hivyo natambua kwamba Dkt. Magufuli ni kiongozi makini, nimewahi kufanya naye kazi katika awamu ya tatu na ya nne anazo sifa za kiuongozi zenye kujibu wito wa mahitaji ya sasa ya uongozi wa Taifa letu katika kipindi hiki. Sisi hatukuwa na shida nay eye, bali mfumo mbovu wa CCM. Namuomba sana akatimize ahadi zake kwa wananchi bila kupuuza walioniunga mkono, na atambue kwamba tumeshapanda mbegu ya mabadiliko ambayo itaendelea kuchipua na kuwa imara, hivyo amekalia kuti kavu na uchaguzi ujao kama asipowatumikia watanzania basi awe tayari kuachia dola.

In the light of the highlighted, don't compare Lowassa to Babu. We know beforehand that we have to die for him to rise to power 2017
Laughing out loudly smile Applause d'oh! Sad Drool Liar Shame on you Pray
masukuma
#86 Posted : Friday, October 30, 2015 4:33:27 PM
Rank: Elder

Joined: 10/4/2006
Posts: 13,823
Location: Nairobi
Wamunyota wrote:
harrydre wrote:
Breaking!!!! M.M Lowasa retires from active politics.

Applause Applause Applause

Very sad day for democracy in TanzaniaSad Sad

why? I think it's a mark of maturity to quit ukishindwa!
All Mushrooms are edible! Some Mushroom are only edible ONCE!
Bigchick
#87 Posted : Friday, October 30, 2015 5:02:39 PM
Rank: Elder

Joined: 2/8/2013
Posts: 4,068
Location: At Large.
Just met a wag who told me TZ kumewaka moto.PEV is happenning.

Anybody to confirm ama I ignore the fool.
Love is beautiful and so are those who share it.With Love, Marriage is an amazing event in ones life time, the foundation of joy, happiness and success.
Impunity
#88 Posted : Friday, October 30, 2015 5:07:15 PM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2009
Posts: 26,331
Location: Masada
Bigchick wrote:
Just met a wag who told me TZ kumewaka moto.PEV is happenning.

Anybody to confirm ama I ignore the fool.


Chindwe.
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.

Tokyo
#89 Posted : Saturday, October 31, 2015 10:18:40 AM
Rank: Veteran

Joined: 10/9/2006
Posts: 1,502
Magufuli is RAO childhood friend. Considering he is 70yrs while President elect is 56 yrs , I'm I missing something
work to prosper
Impunity
#90 Posted : Saturday, October 31, 2015 2:14:38 PM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2009
Posts: 26,331
Location: Masada
Tokyo wrote:
Magufuli is RAO childhood friend. Considering he is 70yrs while President elect is 56 yrs , I'm I missing something


By all goggles @Magufuli daent look like 56, to me he could be 65!
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.

48 Pages«<7891011>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.