wazua Sun, May 10, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

4 Pages123>»
Maajabu Mambasani tena...
washiku
#1 Posted : Thursday, September 12, 2013 10:50:37 PM
Rank: Chief

Joined: 5/9/2007
Posts: 13,095
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?
simonkabz
#2 Posted : Thursday, September 12, 2013 11:02:25 PM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2007
Posts: 8,776
Location: Cameroon
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


I always thought guka's "kunyamba misumari" is the worst thing that could befall a mortal. .....
TULIA.........UFUNZWE!
murchr
#3 Posted : Friday, September 13, 2013 6:20:08 AM
Rank: Elder

Joined: 2/26/2012
Posts: 15,980
Tutajionea mambo
"There are only two emotions in the market, hope & fear. The problem is you hope when you should fear & fear when you should hope: - Jesse Livermore
.
Lolest!
#4 Posted : Friday, September 13, 2013 7:07:51 AM
Rank: Elder

Joined: 3/18/2011
Posts: 12,069
Location: Kianjokoma
simonkabz wrote:
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


I always thought guka's "kunyamba misumari" is the worst thing that could befall a mortal. .....

'nyamba misumari' is a curse. I'm scared...but a friend says those Msa fellows should've made her excrete money..he would have been willing to marry her.
Laughing out loudly smile Applause d'oh! Sad Drool Liar Shame on you Pray
tycho
#5 Posted : Friday, September 13, 2013 7:12:45 AM
Rank: Elder

Joined: 7/1/2011
Posts: 8,804
Location: Nairobi
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


@Washiku, twaweza kuita mambo haya 'alternative psychotherapy'. Lakini kuna jina halisi la 'usanii' na matibabu haya ila tu limeniponyoka kwa sasa.

Bw. Freud na mwenzake Breuer waligundua ugonjwa wa hysteria una ambatana sana na mambo ya kinyumbani na hasa ya ngono, na mara kwa mara kumfanya kijana kuwa na dalili za ugonjwa lakini asipate matibabu ya kawaida.

Hili ni jambo ambalo hufanyika sana wakati mila na itikadi zinabadilika kwa kasi na kuwacha wauguzi wa kijadi wakiwa hawana budi ila kutafuta visingizio kama vile tulivyo ona.

Lakini usifikiri yule dada kashapona! Bado! Tena, kama tulivyosikia, wagonjwa ni wengi huko. Na wajua mambo ya pwani ni mazito hasaa ki ngono!!!

Mimi mwenyewe nimeshuhudia mambo haya mara tatu hivi, ijapokuwa mara ya mwisho utapeli ulizidi, kwani sahiba wangu mmoja aliyekuwa akikohoa sana alitolewa vipande vya chupa tumboni. Ilibidi ni mshauri aende kupimwa magonjwa ya T.B. Majuzi nilikuwa naye na nikamwona akiwa buheri wa afya.




simonkabz
#6 Posted : Friday, September 13, 2013 7:12:51 AM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2007
Posts: 8,776
Location: Cameroon
Lolest! wrote:
simonkabz wrote:
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


I always thought guka's "kunyamba misumari" is the worst thing that could befall a mortal. .....

'nyamba misumari' is a curse. I'm scared...but a friend says those Msa fellows should've made her excrete money..he would have been willing to marry her.


Laughing out loudly
TULIA.........UFUNZWE!
heavenly body
#7 Posted : Friday, September 13, 2013 9:01:52 AM
Rank: Member

Joined: 7/31/2007
Posts: 146
tycho wrote:
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


@Washiku, twaweza kuita mambo haya 'alternative psychotherapy'. Lakini kuna jina halisi la 'usanii' na matibabu haya ila tu limeniponyoka kwa sasa.

Bw. Freud na mwenzake Breuer waligundua ugonjwa wa hysteria una ambatana sana na mambo ya kinyumbani na hasa ya ngono, na mara kwa mara kumfanya kijana kuwa na dalili za ugonjwa lakini asipate matibabu ya kawaida.

Hili ni jambo ambalo hufanyika sana wakati mila na itikadi zinabadilika kwa kasi na kuwacha wauguzi wa kijadi wakiwa hawana budi ila kutafuta visingizio kama vile tulivyo ona.

Lakini usifikiri yule dada kashapona! Bado! Tena, kama tulivyosikia, wagonjwa ni wengi huko. Na wajua mambo ya pwani ni mazito hasaa ki ngono!!!

Mimi mwenyewe nimeshuhudia mambo haya mara tatu hivi, ijapokuwa mara ya mwisho utapeli ulizidi, kwani sahiba wangu mmoja aliyekuwa akikohoa sana alitolewa vipande vya chupa tumboni. Ilibidi ni mshauri aende kupimwa magonjwa ya T.B. Majuzi nilikuwa naye na nikamwona akiwa buheri wa afya.




Applause Applause Applause Applause Beautiful language. Hongera kwa kufafanua kwenye Kiswahili sanifu. Kitu ambacho siku hizi ni duni mno!!

Impunity
#8 Posted : Friday, September 13, 2013 9:17:52 AM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2009
Posts: 26,334
Location: Masada
simonkabz wrote:
Lolest! wrote:
simonkabz wrote:
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


I always thought guka's "kunyamba misumari" is the worst thing that could befall a mortal. .....

'nyamba misumari' is a curse. I'm scared...but a friend says those Msa fellows should've made her excrete money..he would have been willing to marry her.


Laughing out loudly


Laughing out loudly
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.

tycho
#9 Posted : Friday, September 13, 2013 11:38:10 AM
Rank: Elder

Joined: 7/1/2011
Posts: 8,804
Location: Nairobi
heavenly body wrote:
tycho wrote:
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


@Washiku, twaweza kuita mambo haya 'alternative psychotherapy'. Lakini kuna jina halisi la 'usanii' na matibabu haya ila tu limeniponyoka kwa sasa.

Bw. Freud na mwenzake Breuer waligundua ugonjwa wa hysteria una ambatana sana na mambo ya kinyumbani na hasa ya ngono, na mara kwa mara kumfanya kijana kuwa na dalili za ugonjwa lakini asipate matibabu ya kawaida.

Hili ni jambo ambalo hufanyika sana wakati mila na itikadi zinabadilika kwa kasi na kuwacha wauguzi wa kijadi wakiwa hawana budi ila kutafuta visingizio kama vile tulivyo ona.

Lakini usifikiri yule dada kashapona! Bado! Tena, kama tulivyosikia, wagonjwa ni wengi huko. Na wajua mambo ya pwani ni mazito hasaa ki ngono!!!

Mimi mwenyewe nimeshuhudia mambo haya mara tatu hivi, ijapokuwa mara ya mwisho utapeli ulizidi, kwani sahiba wangu mmoja aliyekuwa akikohoa sana alitolewa vipande vya chupa tumboni. Ilibidi ni mshauri aende kupimwa magonjwa ya T.B. Majuzi nilikuwa naye na nikamwona akiwa buheri wa afya.




Applause Applause Applause Applause Beautiful language. Hongera kwa kufafanua kwenye Kiswahili sanifu. Kitu ambacho siku hizi ni duni mno!!



Asante. 'Kcs', ama lol.
Muriel
#10 Posted : Friday, September 13, 2013 11:51:34 AM
Rank: Member

Joined: 11/19/2009
Posts: 3,142
tycho wrote:
heavenly body wrote:
tycho wrote:
washiku wrote:
Ukistaajabu ya paka kwa mtungi, basi mengine ndiyo haaaaya...Kibibi katapika misumari, nyundo, screw driva, pliers, nyororo vipande vipande na kadhalika...Maajabu haya. @Tycho, haya utayaita nini kwa ludga ya "dini" yako? Si shetaniii nini?


@Washiku, twaweza kuita mambo haya 'alternative psychotherapy'. Lakini kuna jina halisi la 'usanii' na matibabu haya ila tu limeniponyoka kwa sasa.

Bw. Freud na mwenzake Breuer waligundua ugonjwa wa hysteria una ambatana sana na mambo ya kinyumbani na hasa ya ngono, na mara kwa mara kumfanya kijana kuwa na dalili za ugonjwa lakini asipate matibabu ya kawaida.

Hili ni jambo ambalo hufanyika sana wakati mila na itikadi zinabadilika kwa kasi na kuwacha wauguzi wa kijadi wakiwa hawana budi ila kutafuta visingizio kama vile tulivyo ona.

Lakini usifikiri yule dada kashapona! Bado! Tena, kama tulivyosikia, wagonjwa ni wengi huko. Na wajua mambo ya pwani ni mazito hasaa ki ngono!!!

Mimi mwenyewe nimeshuhudia mambo haya mara tatu hivi, ijapokuwa mara ya mwisho utapeli ulizidi, kwani sahiba wangu mmoja aliyekuwa akikohoa sana alitolewa vipande vya chupa tumboni. Ilibidi ni mshauri aende kupimwa magonjwa ya T.B. Majuzi nilikuwa naye na nikamwona akiwa buheri wa afya.




Applause Applause Applause Applause Beautiful language. Hongera kwa kufafanua kwenye Kiswahili sanifu. Kitu ambacho siku hizi ni duni mno!!



Asante. 'Kcs', ama lol.


Perhaps I should read it for the accolades its receiving. smile
4 Pages123>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.