wazua Fri, May 8, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

10 Pages«<23456>»
wakenya tembeeni
Cde Monomotapa
#31 Posted : Tuesday, November 22, 2011 9:24:56 PM
Rank: Chief

Joined: 1/13/2011
Posts: 5,964
vinii wrote:
@chuse....wewe ni soketi ama plagi?

Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly #chozi
safariant
#32 Posted : Tuesday, November 22, 2011 9:41:53 PM
Rank: Member

Joined: 9/9/2010
Posts: 784
Location: ant hill - red hill
chuse wrote:
naona watu wanakuja na mawazo mazuri,tatizo wakenya wengi hawafahamu kuwa lugha si maarifa,ujuzi ama taaluma.Wanajivunia kujua kiingereza wakati warusi,wachina,waturuki na wengine wengi wanasoma kwa lugha zao na bado hakuna wanachopoteza.

1.mbona kama nyinyi mnauchumi imara watu wenu wanakufa njaa na mnaomba msaada tanzania
2.kwanini sukari mnavusha toka tanzania

***
Sukari si kila kitu kaka braza, sisi twanywa ndufiia na tushazoea.
Bona nyinyi wabongo mwakerwa na wakenya hivi? Ndugu zetu waganda wakarimu zaidi yenu. Nikiwa huko najiskia nyumbani si kama bongo.

Na niulize wamjua dada mmoja kutoka hapo Arusha tulikuwa kidato kimoja hapa Nairobi, tafuta nambari yake ya rununu unisambazie kaka braza, au vipi?
The greatest act of bravery is chancing a fart while suffering from diarrhoea
youcan'tstopusnow
#33 Posted : Tuesday, November 22, 2011 9:43:13 PM
Rank: Chief

Joined: 3/24/2010
Posts: 6,779
Location: Black Africa
Cde Monomotapa wrote:
vinii wrote:
@chuse....wewe ni soketi ama plagi?

Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly #chozi

Laughing out loudly Thread of the year
GOD BLESS YOUR LIFE
vinii
#34 Posted : Tuesday, November 22, 2011 9:58:56 PM
Rank: Elder

Joined: 10/14/2009
Posts: 2,057
Cde Monomotapa wrote:
Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly where is @QW!!! Angefaa kuwa anachangia huu nyuzi pia!! Laughing out loudly Laughing out loudly

. .. nadhani wa maanisha hii nyuzi wala sio huu nyuzi..
If you are an eagle don't hang around with chickens; chickens don't fly....
holycow
#35 Posted : Tuesday, November 22, 2011 10:17:45 PM
Rank: Veteran

Joined: 11/11/2006
Posts: 972
Location: Home
youcan'tstopusnow wrote:
Cde Monomotapa wrote:
vinii wrote:
@chuse....wewe ni soketi ama plagi?

Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly #chozi

Laughing out loudly Thread of the year


Laughing out loudly Applause Laughing out loudly Applause Laughing out loudly
Mpenzi
#36 Posted : Tuesday, November 22, 2011 10:58:21 PM
Rank: Veteran

Joined: 10/17/2008
Posts: 1,234
safariant wrote:
chuse wrote:
naona watu wanakuja na mawazo mazuri,tatizo wakenya wengi hawafahamu kuwa lugha si maarifa,ujuzi ama taaluma.Wanajivunia kujua kiingereza wakati warusi,wachina,waturuki na wengine wengi wanasoma kwa lugha zao na bado hakuna wanachopoteza.

1.mbona kama nyinyi mnauchumi imara watu wenu wanakufa njaa na mnaomba msaada tanzania
2.kwanini sukari mnavusha toka tanzania

***
Sukari si kila kitu kaka braza, sisi twanywa ndufiia na tushazoea.
Bona nyinyi wabongo mwakerwa na wakenya hivi? Ndugu zetu waganda wakarimu zaidi yenu. Nikiwa huko najiskia nyumbani si kama bongo.

Na niulize wamjua dada mmoja kutoka hapo Arusha tulikuwa kidato kimoja hapa Nairobi, tafuta nambari yake ya rununu unisambazie kaka braza, au vipi?


Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly
Cde Monomotapa
#37 Posted : Tuesday, November 22, 2011 11:03:04 PM
Rank: Chief

Joined: 1/13/2011
Posts: 5,964
vinii wrote:
Cde Monomotapa wrote:
Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly where is @QW!!! Angefaa kuwa anachangia huu nyuzi pia!! Laughing out loudly Laughing out loudly

. .. nadhani wa maanisha hii nyuzi wala sio huu nyuzi..

hii-huu? doh!! Kiswahili labda ndo kilikuja na meli. Laughing out loudly
vinii
#38 Posted : Tuesday, November 22, 2011 11:39:12 PM
Rank: Elder

Joined: 10/14/2009
Posts: 2,057
...@chuse kama wewe ni plagi tafadhali elezea wakenya ujasiri wa ndugu zetu watanzania katika utaaluma wa kuegeza ndege kwenye uwanja (airpoti), hio pia ni maendeleo....
If you are an eagle don't hang around with chickens; chickens don't fly....
simonkabz
#39 Posted : Wednesday, November 23, 2011 12:15:16 AM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2007
Posts: 8,776
Location: Cameroon
@ycsun and Laughing out loudly, i can see u have expended ua lugha mufti mpaka imeisha. Try again next year when it will be replenished.
TULIA.........UFUNZWE!
Outvestor
#40 Posted : Wednesday, November 23, 2011 12:26:43 AM
Rank: Member

Joined: 8/8/2009
Posts: 171
Lolest! wrote:

Kiswahili kyangu kimeishia haposmile


Nuff Sed! Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly
¡ʇɹoɟɟǝ ƃuıɟɟǝ ǝɥʇ ɹoɟ ɥɔnɯ os ؛uıɐʌ uı ɔıqɐɹɐ ƃuıuɹɐǝן pǝıɹʇ ı
10 Pages«<23456>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.