wazua Fri, May 8, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

10 Pages<12345>»
wakenya tembeeni
youcan'tstopusnow
#21 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:27:13 PM
Rank: Chief

Joined: 3/24/2010
Posts: 6,779
Location: Black Africa
Tanzania mna madini kibao sana. Kwa mfano dhahabu. Ninyi ndio nchi ya tatu Afrika kwa kutoa madini, baada ya Afrika Kusini na Dhahabu Pwani (Gold Coast now known as Ghana) Lakini dhahabu haijaleta manufaa yoyote kwa nchi ya Tanzania. Mnaliwa tu na wazungu. Pesa zote baada ya dhahabu kuuzwa zapelekwa Marekani na Uingereza. Hii ni aina ya ubakaji! Wadai eti sisi twasaidiwa na wazungu. Je, heri kufirwa au kusaidiwa? Tafakari hayo. Masalkheri ndugu
GOD BLESS YOUR LIFE
chuse
#22 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:31:01 PM
Rank: Hello

Joined: 11/22/2011
Posts: 6
naona watu wanakuja na mawazo mazuri,tatizo wakenya wengi hawafahamu kuwa lugha si maarifa,ujuzi ama taaluma.Wanajivunia kujua kiingereza wakati warusi,wachina,waturuki na wengine wengi wanasoma kwa lugha zao na bado hakuna wanachopoteza.

1.mbona kama nyinyi mnauchumi imara watu wenu wanakufa njaa na mnaomba msaada tanzania
2.kwanini sukari mnavusha toka tanzania
Cde Monomotapa
#23 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:31:50 PM
Rank: Chief

Joined: 1/13/2011
Posts: 5,964
youcan'tstopusnow wrote:
Tanzania mna madini kibao sana. Kwa mfano dhahabu. Ninyi ndio nchi ya tatu Afrika kwa kutoa madini, baada ya Afrika Kusini na Dhahabu Pwani (Gold Coast now known as Ghana) Lakini dhahabu haijaleta manufaa yoyote kwa nchi ya Tanzania. Mnaliwa tu na wazungu. Pesa zote baada ya dhahabu kuuzwa zapelekwa Marekani na Uingereza. Hii ni aina ya ubakaji! Wadai eti sisi twasaidiwa na wazungu. Je, heri kufirwa au kusaidiwa? Tafakari hayo. Masalkheri ndugu

doh!! Laughing out loudly Laughing out loudly
FancyFace
#24 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:36:55 PM
Rank: Member

Joined: 7/31/2009
Posts: 743
chuse wrote:
naona watu wanakuja na mawazo mazuri,tatizo wakenya wengi hawafahamu kuwa lugha si maarifa,ujuzi ama taaluma.Wanajivunia kujua kiingereza wakati warusi,wachina,waturuki na wengine wengi wanasoma kwa lugha zao na bado hakuna wanachopoteza.

1.mbona kama nyinyi mnauchumi imara watu wenu wanakufa njaa na mnaomba msaada tanzania
2.kwanini sukari mnavusha toka tanzania

maswala nyeti haya...smile

Problems can get out of proportion, and not only in the wee small hours. Don't let the problems eclipse the Master. Let the Master eclipse the problems.
youcan'tstopusnow
#25 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:39:33 PM
Rank: Chief

Joined: 3/24/2010
Posts: 6,779
Location: Black Africa
chuse wrote:
naona watu wanakuja na mawazo mazuri,tatizo wakenya wengi hawafahamu kuwa lugha si maarifa,ujuzi ama taaluma.Wanajivunia kujua kiingereza wakati warusi,wachina,waturuki na wengine wengi wanasoma kwa lugha zao na bado hakuna wanachopoteza.

1.mbona kama nyinyi mnauchumi imara watu wenu wanakufa njaa na mnaomba msaada tanzania
2.kwanini sukari mnavusha toka tanzania

Nipe nafasi nitetee nchi huru ya Kenya!

Kenya haijaomba msaada kutoka Tanzania kwa wakati wowote huo. Maindi na sukari ambayo wataja huwa inanunuliwa. Tena nasema, Kenya hununua na si kuomba. Maskini ataombaje kwa maskini zaidi? Haileti mantiki
Hivi sasa utadai eti ya kwamba kwa kununua mafuta toka Angola, Marekani inaomba Angola msaada? Au Uchina yaomba Sudan msaada? La hasha. Hii tu ni importi na exporti ya kawaida!

GOD BLESS YOUR LIFE
Cde Monomotapa
#26 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:51:09 PM
Rank: Chief

Joined: 1/13/2011
Posts: 5,964
!! Fatality !! @ycsun WINS!!
mnandii
#27 Posted : Tuesday, November 22, 2011 7:54:13 PM
Rank: Elder

Joined: 10/11/2006
Posts: 2,304
youcan'tstopusnow wrote:
chuse wrote:
naona watu wanakuja na mawazo mazuri,tatizo wakenya wengi hawafahamu kuwa lugha si maarifa,ujuzi ama taaluma.Wanajivunia kujua kiingereza wakati warusi,wachina,waturuki na wengine wengi wanasoma kwa lugha zao na bado hakuna wanachopoteza.

1.mbona kama nyinyi mnauchumi imara watu wenu wanakufa njaa na mnaomba msaada tanzania
2.kwanini sukari mnavusha toka tanzania

Nipe nafasi nitetee nchi huru ya Kenya!

Kenya haijaomba msaada kutoka Tanzania kwa wakati wowote huo. Maindi na sukari ambayo wataja huwa inanunuliwa. Tena nasema, Kenya hununua na si kuomba. Maskini ataombaje kwa maskini zaidi? Haileti mantiki
Hivi sasa utadai eti ya kwamba kwa kununua mafuta toka Angola, Marekani inaomba Angola msaada? Au Uchina yaomba Sudan msaada? La hasha. Hii tu ni importi na exporti ya kawaida!



d'oh!
Conventional thinkers waste time building shelters when they are unnecessary and then have no shelters when they need them the most. Socionomists do the opposite.
vinii
#28 Posted : Tuesday, November 22, 2011 8:52:33 PM
Rank: Elder

Joined: 10/14/2009
Posts: 2,057
@chuse....wewe ni soketi ama plagi?
If you are an eagle don't hang around with chickens; chickens don't fly....
Lolest!
#29 Posted : Tuesday, November 22, 2011 8:54:45 PM
Rank: Elder

Joined: 3/18/2011
Posts: 12,069
Location: Kianjokoma
This must be some regular wazuan sitting behind his comp and laughing so hard at the replies we are giving him. I doubt the guy is Tanzanian!

Lakini nikiweka shuku yangu kando(giving the benefit of doubt), nashangazwa pakubwa na kiwango cha maendeleo katika nchi za Afrika Mashariki ya awali.

Kutoka nikiwa mchanga nilifunzwa katika somo la jiografia kuwa Tanzania ina madini ya Diamond ambayo mwachimba kule Shinyanga katika wilaya ya Mwadui. Baadaye, niliskia kuwa pia mna madini ya Tanzanite na dhahabu na mchanganyiko wa madini mengine mengi.

Waganda nao wana copper huko Kilembe na pia kawi ya kutosha kutoka mto Nile! Juzi wamepata mafuta katika eneo la magharibi mwa nchi hiyo.

Isitoshe, asili mia kubwa ya ardhi nchini Kenya haiwezi tumika kwa kukuza chakula kwani ni kame na yaweza kaa miaka mingi kabla wenyeji wapate kuvuna chochote.

Vipi basi ikawa Kenya, ambayo madini yake hayatajiki kwa kuwa ni ya dhamani ndogo ikawa na uchumi ulioimarika zaidi? Kwa nini Tanzania, ambayo haina ufisadi wa kiwango kama cha Kenya haimo katika nchi ambazo zimestawi zaidi Afrika?

Tanzania haijakuwa na misukosuko kama ilivyo Kenya na Uganda(tangu wakati mlipondanganywa na Kinjeketile kuwa risasi za Wajerumani zitageuka kuwa majismile ).

Ikiwa tuko nyuma yenu kimaendeleo, si mturuhusu basi tufanye kazi na biashara humo Tanzania bila vigezo mtuwekeavyo sasa hivi? Serikali yenu ndiyo inayopinga utengamano katika Jumuiya ya Afrika Mashariki!

Hata hivyo, ningependa sana kuoa kipusa mtanzaniasmile

Kiswahili kyangu kimeishia haposmile
Laughing out loudly smile Applause d'oh! Sad Drool Liar Shame on you Pray
Cde Monomotapa
#30 Posted : Tuesday, November 22, 2011 9:22:16 PM
Rank: Chief

Joined: 1/13/2011
Posts: 5,964
Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly where is @QW!!! Angefaa kuwa anachangia huu nyuzi pia!! Laughing out loudly Laughing out loudly
10 Pages<12345>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.